LESONI JUMAPILI:MAMLAKA YA YESU KRISTO BWANA WETU

SOMO KWA UFUPI
Kama tabibu na Msomi mkubwa Luka alikuwa na mamlaka makubwa sana.Alikuwa na Uelewa mkubwa sana katika falsafa za Kigiriki kwa wakati ule, kwa sababu alikuwa amesoma sana.Alifahamu pia mamlaka ya sheria za kirumi katika maswala ya kijamii na serikali yao kwa ujumla.Akiwa kama msafiri mwenza wa Paulo,Na walikuwa na mamlaka makubwa sana katika makanisa waliyokuwa wakiyatembelea.

MASWALI NA MAFUNGU MUHIMU YA KUJIULIZA:
SOMA : Luka 8:22-25Luka 4:31-37Luka 5:24-26Luka 7:49Luka12:8. Ni aina gani ya madaraka yesu alikuwa nayo na ambayo alifanya kazi kwayo?

Binadamu wengi sana wanafanya mambo mengi katika jina la Mungu,kitu ambacho kwa kiasi kikubwa huwapa mamlaka makubwa katika matendo yao.Tunawezaje kufahamu au kutambua kuwa tunaposema,"Mungu naomba nifanye hili" Tunawezaje kutambua kuwa ameturuhusu kufanya jambo hilo??

Tupe maoni yako hapo chini..!

Share this article :

'LIKE' UKURASA WETU WA FACEBOOK HAPO CHINI...!

0 comments:

Post a Comment

 

Copyright ©2015 KIRUMBA ADVENTIST CHURCH